karibu

aisha

printers

classic

Tuesday, November 27, 2012

PICHA ZA GARI YA SHAROBARO BAADA YA AJALI




 Msanii wa vichekesho na Muziki wa kizazi kipya nchini Hussein Ramadhani Mkiete, almaarufu Sharo Millionea, ambaye alifariki jana usiku majira ya saa mbili anatarajiwa kuzikwa kwao Mkoani Tanga mara baada ya taratibu za mazishi kukamilika.
Ajali hiyo mbaya ilitokea eneo la Maguzoni Tanga baada ya gari alilokuwa akiendesha T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza kuacha njia na kupinduka na alifariki dunia hapohapo ambapo polisi walimtambua baada ya kuona vitambulisho vyake pamoja na picha moja ya paspot size aliyokuwanayo mfuko ambapo vitu hivyo vyote viko polisi.
 Rafiki wa karibu wa Sharo Diwani Makame Seif, akieleza kwenye kituo kimoja cha radio alisema sharo Millionea ameumia vibaya sana kichwani, kifuani na kwenye mikono. Pia Mjomba wa marehemu amethibitisha kuwa Sharo Millionea atazikwa Tanga na asubuhi ya leo ratiba ya msiba itatolewa. Ndugu na marafiki wa Sharo wameanza kwenda hospitalini baada tu ya taarifa hizi kuwafikia. Familia ya Sharo imeshafika Hospitali ya Teule ya Tanga.
  Jana usiku majira ya saa 3:00 Kamanda wa Polisi Tanga alisema,
“leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza”
  Kamanda amesema hakuna kona kali sana wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali Sharo Milionea, katikati ya Segera na Muheza ambapo gari imehifadhiwa mahali salama kwa sababu haitembei.

Monday, November 26, 2012

RIP SHARO MILIONEA


 
Kuna habari kuwa msanii  Hussein Ramadhani Mkiety liyekuwa maarufu kwa jina la Sharo Millionea, msanii wa muziki na maarufu katika kuwepo kwake katika matangazo kwa style ya aina yake amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Tanga. 
 Kamanda wa Polisimkoani Tanga, Constatine Masawe amekiri kutokea kwa msiba wa Sharobaro, baada ya kupata ajali katika kijiji cha Lusanga, Muheza ambapo pia ndio nyumbani kwao
R.I.P SHARO MILLIONEA 

 Alichosema kamanda hichi kama umeshinda kuisikiliza
 Kuhusu kifo cha msanii/mwigizaji Sharo Milionea, namkariri Kamanda wa Polisi Tanga akisema “leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza”
Kamanda amesema hakuna kona kali sana wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali Sharo Milionea, katikati ya Segera na Muheza ambapo gari imehifadhiwa mahali salama kwa sababu haitembei

Wednesday, November 14, 2012

Selena Gomez "Repulsed" by Miley Cyrus, Angry Over Justin Bieber Work Schedule

A new report claims to get to the heart of the Selena Gomez and Justin Bieber break-up.
First, according to Radar Online sources, Selena and Justin actually split once before, back around the time Bieber filmed an episode of Punk'd with Miley Cyrus.
Why would that be a problem?
  • Justin Bieber Strips
  • Naughty Miley Cyrus
  • Selena Gomez Up North
"Selena is repulsed by Miley!" this insider claims, adding that Justin going ahead with the show "didn't sit well" with his girlfriend.
And while Cyrus played no part in the latest blow-up, Bieber's work schedule has remained an issue.
"He's been continually choosing work over Selena and she's finally had enough," the source alleges, detailing how this issue came to a head when Justin performed this week at the Victoria's Secret Fashion Show.
It didn't help that Gomez found photos of him posing with models at the event.
"Selena was pissed," the site says.
Gomez and Bieber supposedly met on Sunday to discuss their relationship, with the latter left to decide: does he want a steady girlfriend? Or the chance to have sex with many hot women?
"When they originally started dating, Justin was a boy entertaining young girls, and now he's a man surrounded by Victoria's Secret models," this insider concludes. "Selena doesn't like that."
Choose a side now in this feud, THGers:

 

Read more <a href="http://www.thehollywoodgossip.com">

Dancing With the Stars Results: Double Elimination Time For

It was double elimination time again on the Dancing With the Stars results show tonight.
Based on the scores from the past two weeks, it looked pretty good for Melissa Rycroft, and looked grim for Kirstie Alley. But as you know ... you never really know.
With seven popular DWTS: All-Stars remaining, and the scores relatively tight across the board, all bets were off. So which two were cut, and which five advanced?
    Apolo Anton Ohno and Karina SmirnoffGilles Marini and Peta Murgatroyd
  • Kirstie Alley and Maksim Chmerkovskiy DWTS Picture
  • Emmitt Smith and Cheryl Burke
The two ousted dancers on Tuesday's DWTS results show are pictured above.

Read more <a href="http://www.thehollywoodgossip.com"

Tuesday, November 13, 2012

MWIMBAJI MARIAM KHAMISI AFARIKI DUNIA AKIJIFUNGUA

Photo: Mwimbaji wa Taarabu MARIAM KHAMISI amefariki Dunia wakati akijifungua,Mariam ametangulia mbele za haki na kutuachia Mtoto mchanga....Mungu ampumzishe kwa amani 
Mwimbaji wa Taarabu MARIAM KHAMISI amefariki Dunia wakati akijifungua,Mariam ametangulia mbele za haki na kutuachia Mtoto mchanga....Mungu ampumzishe kwa amani

Sunday, November 4, 2012

MISS TANZANIA 2012 NI BRIGITE

Brigitte Alfred ndie mshindi kati ya washiriki wenzake 29.
.
.
.
Mshindi wa Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred (katikati)katika picha ya pamoja na mshindi wa Pili Eugene Fabian (kushoto) na Mshindi wa Tatu, Edda Sylvester, Brigitte anatokea Kitongoji cha Sinza na Kanda ya Kinondoni wakati, Eugene Mkoa wa Mara na Kanda ya Ziwa, Edda ni Miss Kigamboni na Kanda ya Temeke.
.
.
.
.
.
.
.

Waendesha shughuli Jokate pamoja na Taji Liundi.

Monday, October 22, 2012

NDOA YA AUNT EZEKIEL YAINGIA DOSARI




SIKU chache baada ya mwigizaji mahiri Bongo, Aunt Ezekiel kuolewa kimyakimya, ndoa hiyo imepigwa zengwe kufuatia mwanaume muoaji kutoonekana kwenye tukio hilo.
 
Aunt Ezekiel akiwa kapozi wakati wa ndoa yake.
Aunt alifunga ndoa Oktoba 18, mwaka huu na mchumba wake wa siku nyingi aitwaye Sunday Demonte lakini baada ya tukio hilo minong’ono ya chinichini ilianza huku watu wakidai kuwa, kwa namna ilivyokuwa, kuna kitu nyuma ya pazia.
“Sasa ndoa gani hii mwanaume haonekani kabisa? Au ndiyo changa la macho lenyewe? Kwa ndoa kama hizi muda si mrefu utasikia kimenuka,” alisikika akisema mmoja wa wadau walioziona picha za sherehe hiyo mtandaoni.
Aidha, kuna ambao walikwenda mbele zaidi kwa kuhoji usiri uliokuwa umetawala na hata picha ambazo zinamuonesha Aunt tu akiwa kwenye mapozi.
 
Tabasamu la ndoa.
“Kwa ndoa ya staa kama huyu tulitarajia kuona picha za matukio mbalimbali lakini ni tofauti, kila picha ni yeye na chache akiwa na mashosti zake, mbona hatuoni za ndugu zake na tukio la kufungwa ndoa?” alihoji Husna wa Kinondoni.
Katika kushibisha habari hii, mwandishi wetu aliongea na Aunt ambaye alisema, ndoa aliyofunga wala haistahili kutiliwa shaka kwani mumewe yuko Dubai ila amewakilishwa na ndugu yake kwa kufuata taratibu za Kiislam.
“Ni ndoa halali kabisa na mume wangu amewakilishwa na ndugu yake ila ataungana nami kwenye sherehe kubwa itakayofanyika huko Dubai,” alisema Aunt.
 
..akipata maelekezo kutoka kwa Shehe.
 
..akisaini kitabu cha ndoa.

Source at global publishers.com



Monday, October 15, 2012

Shakira Shows Off Baby Bump During Concert in Azerbaijan

Shakira


Splash News
Shakira's bump doesn't lie.
The pregnant singer took her hip-shaking moves and protruding belly to the Azerbaijan stage to perform at the closing ceremony of FIFA U-17 Women's World Cup in Baku last night.
Shakira and Rihanna asked to rethink performing in Azerbaijan
"I felt awesome on stage! We really enjoyed tonight! Shak ," the singer tweeted, and let fans know that a baby bump won't stop her from whipping her hair back and forth from time to time.
Shakira, who wore black leather leggings with a form-fitting black dress and black leather wedge boots, was in the middle of controversy when it came to this specific performance.
Amnesty International and Sing for Democracy had sent a letter to her (and Rihanna, who was also scheduled to perform), encouraging the artist to rethink taking the stage by making her aware of the alleged human rights abuses being inflicted on the nation's people.
In the letter sent to the singers, Amnesty International stated it "believes that the Azerbaijani government should afford all artists, journalists, activists and ordinary citizens the right to express themselves freely without fear of reprisal. We hope that you share our belief."

Wednesday, October 10, 2012

WALIMBWENDE WAMTEMBELEA LOWASSA NYUMBANI MONDULI


Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa na Mkewe Mama Regina Lowassa wakiwa kenye picha ya pamoja na Warembo wanaowania Taji la Miss Tanzania 2012 pamoja na Viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimia na Msimamizi (Matron) wa warembo wa Miss Tanzania 2012, Irene Karugaba wakati warembo hao walipotembelea Nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Monduli.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Warembo wanaowania Taji la Miss Tanzania 2012 waliofika nyumbani kwake Monduli leo na kupata wasaa kwa kuzungumza nae mambo mawili matatu juu ya mafanikio ya Mashindano hayo na Maendeleo ya Taifa letu kwa ujumla.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Warembo wanaowania Taji la Miss Tanzania 2012 waliofika nyumbani kwake Monduli leo na kupata wasaa kwa kuzungumza nae mambo mawili matatu juu ya mafanikio ya Mashindano hayo na Maendeleo ya Taifa letu kwa ujumla.

Friday, October 5, 2012

KWA WAREMBO WA TOWN HII INAWAUSU SANA

I read a lot of fashion “news” as a result of my career as a Costume Designer and as the Clothes Editor here on xoJane.
I put the word "news" in quotes because if you’ve read any amount of fashion media recently, you pretty much know why. A lot of it seems aimed at someone I don’t identify with, and it’s hard to find anything new/useful/interesting/out of the ordinary that you can actually apply straight to your own life and wardrobe.
I’m all about plugging newfound knowledge straight into your everyday existence. Fashion in particular is supposed to make your life better! So I end up visiting way more personal fashion blogs than straight editorial fashion websites in order to get inspiration.
I would be the very worst fashion blogger of all time. Not only do I pretty exclusively only wear crappy T-shirts, I absolutely despise having my picture taken.
If I had a personal fashion blog and you had the misfortune to be a reader of it, you’d be treated to endless photos like this one:
image
Which I realize is truly terrifying, but I only like dumb-looking pictures of myself. Plus I’ve already written about how my in-house photographer is my boyfriend, who loves to take photos of me with my mouth open.
image
Every. Time.
So now we know why I never became a fashion blogger myself.
Here are my fave style blogs right now in no particular order:
1) My Style Diaries -- Nikki Minton
image
Nikki Minton.
Nikki's blog is really straightforward and full of flawless styling suggestions. I like that Nikki mixes photos of her own daily wardrobe in with pages that show styling options for how to wear current trendy items you may already own or be thinking of purchasing.
image
Workplace Blues, via My Style Diaries.
Seeing nothing but a blogger’s own self in an endless parade of similar outfits often tires me out. A lot of Nikki's posts are geared toward ideas of what to wear to specific events such as a bachelorette party, a wedding or a weekend at the county fair. I think a lot of people are stumped as to what's appropriate for various occasions, and Nikki does an immaculate job of giving clean, classic, interesting ideas. Her style reminds me of our own lovely Madeline's: colorful, snappy, spunky and polished!
2) Stylish Curves -- Alissa Wilson
image
Alissa Wilson.
I have no idea how I came across Alissa’s blog. Most likely thru some drunken 4am Internet surfing, but I am so glad I did. She and I are polar opposites visually, but I get an unbelievable amount of inspiration from looking at how she dresses herself.
Alissa is proof that all you were taught about dressing as a plus size woman should be thrown out the window. Prints? Color? Sleeveless? DON’T MIND IF I DO.
image
Alissa in prints.
In addition to featuring her own outfits, Alissa highlights reader styles and looks she loves from curvy celebrity babes. Her site is also a really expert shopping resource for fresh plus-size fashions.
I thought about Alissa and Stylish Curves yesterday after reading Ty’s piece about Independent Fashion Blogger’s recently posted "hints" to bloggers who don't fit into mainstream beauty ideals. (They were pretty clearly referring to minorities and persons of size.) IFB posited that perhaps these bloggers would get more readers if they would just make “a serious commitment to higher-quality content.”
Why couldn’t IFB have instead held up Stylish Curves as a perfect example of someone putting in the hard work and providing useful content? In their diatribe on why bloggers who don’t fit the classic “thin, white, pretty” mold don’t get the attention they deserve, they overlooked a golden opportunity to spotlight those who are in fact breaking said mold.
3) Slow Burn, Fast Burn -- Lauren Williams
image
Lauren Williams.
Lauren’s blog is a dreamy mix of her own outfit posts and beautiful inspiration photos. She really has a great eye and knows how to manipulate mood and feeling with photos. The girl is a born editor.
I love the ethereal stream of consciousness feeling that runs through her pages; it’s like being a fly on the wall of her mind. When she posts an outfit, she gives you the backstory of how she came to put it together plus a little glimpse of what’s going on in her life.
Lauren definitely has a tough but sweet edge to both her personal style and her editorial posts:
image
Seeing Stars, via Slow Burn,Fast Burn.
4) The Curvy Fashionista -- Marie Denee
image
Marie Denee.
Our very own Marianne Kirby turned me on to Marie’s blog. The Curvy Fashionista resembles a classic magazine format more than almost any blog I’ve seen. She turns out brilliant articles on fashion and style, health and beauty, fashion events, interviews with celebs, and smart shopping/sale alerts. Plus she has amazing hair.
Marie excels at giving readers the sort of useful information that I believe every consumer of fashion media is desperately looking for and can actually use. For example, her post on boots that fit those with wide calves is revelatory -- I already ordered 2 pairs that she suggested for a hard-to-fit actress on the show I’m doing.
image
So You Want a Wide Calf Boot? via The Curvy Fashionista.
This is another way I use fashion blogs -- I personally have a lot of innate knowledge of where to find almost any clothing, shoe or accessory, but when I’m clueless, there is always a clever blogger out there who specializes in exactly what I’m looking for. Bloggers like Marie give practical, first-hand knowledge and advice that readers can use to make their lives better.
5) Kmart’s fashion blog
Stop laughing!! As you may know from my Target post, I love to find cute clothes at the same place I shop for floor cleaner. Kmart has become another one of my haunts for affordable clothes that are on-trend but don’t SCREAM trendy. Plus you can ruin your clothes and not sweat it. I am a big clothes-ruiner.
I stumbled onto Kmart's fashion blog completely by accident. It sounds so ridiculous -- but they have surprisingly well edited ideas of how to work some Kmart fashions that aren’t totally cringe-worthy.
I’ve bought quite a few crazily inexpensive summer dresses at Kmart -- and gotten a ridiculous amount of compliments on them:
I totally own that blue flowered combo tube dress/skirt. And no, that's not a typo, it really is $11.19! I love it so much, I bought two. I almost always ditch the belt that comes with a cheaper dress like these and replace it with something of a higher quality. Madeline did this with great aplomb when she switched the buttons on her Forever 21 cardigan for something richer. One fancy detail makes a cheap item look stellar.
Honorable mention: Racked.com
image
Nicholas Kirkwood's Alice in Wonderland shoes via Racked.com.
I also always keep an eye on what’s crackin’ at Racked.com. The idea of a website about "shopping intelligence" seemed slightly inane to me at first, but I’ve found myself becoming a daily reader. They do a great job of alerting readers about new stores, sample sales, designer collaborations and insider snippets about your favorite fashion stars.
There are also a handful of local Racked sites: Los Angeles, New York and Chicago, with Atlanta, DC, Boston, Philly, Miami, Dallas, San Francisco, Seattle and Las Vegas editions in the works.

Obviously there are thousands of other bloggers doing great work that deserve individual notice. I couldn’t list them all here, even if Emily let me take over the entirety of xoJane for 2 full weeks with nothing but links to awesome fashion blogs! Let me know whom else I should check out, and I’ll keep featuring them periodically.
Happy web surfing, babes.