karibu

aisha

printers

classic

Tuesday, November 27, 2012

PICHA ZA GARI YA SHAROBARO BAADA YA AJALI




 Msanii wa vichekesho na Muziki wa kizazi kipya nchini Hussein Ramadhani Mkiete, almaarufu Sharo Millionea, ambaye alifariki jana usiku majira ya saa mbili anatarajiwa kuzikwa kwao Mkoani Tanga mara baada ya taratibu za mazishi kukamilika.
Ajali hiyo mbaya ilitokea eneo la Maguzoni Tanga baada ya gari alilokuwa akiendesha T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza kuacha njia na kupinduka na alifariki dunia hapohapo ambapo polisi walimtambua baada ya kuona vitambulisho vyake pamoja na picha moja ya paspot size aliyokuwanayo mfuko ambapo vitu hivyo vyote viko polisi.
 Rafiki wa karibu wa Sharo Diwani Makame Seif, akieleza kwenye kituo kimoja cha radio alisema sharo Millionea ameumia vibaya sana kichwani, kifuani na kwenye mikono. Pia Mjomba wa marehemu amethibitisha kuwa Sharo Millionea atazikwa Tanga na asubuhi ya leo ratiba ya msiba itatolewa. Ndugu na marafiki wa Sharo wameanza kwenda hospitalini baada tu ya taarifa hizi kuwafikia. Familia ya Sharo imeshafika Hospitali ya Teule ya Tanga.
  Jana usiku majira ya saa 3:00 Kamanda wa Polisi Tanga alisema,
“leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza”
  Kamanda amesema hakuna kona kali sana wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali Sharo Milionea, katikati ya Segera na Muheza ambapo gari imehifadhiwa mahali salama kwa sababu haitembei.

Monday, November 26, 2012

RIP SHARO MILIONEA


 
Kuna habari kuwa msanii  Hussein Ramadhani Mkiety liyekuwa maarufu kwa jina la Sharo Millionea, msanii wa muziki na maarufu katika kuwepo kwake katika matangazo kwa style ya aina yake amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Tanga. 
 Kamanda wa Polisimkoani Tanga, Constatine Masawe amekiri kutokea kwa msiba wa Sharobaro, baada ya kupata ajali katika kijiji cha Lusanga, Muheza ambapo pia ndio nyumbani kwao
R.I.P SHARO MILLIONEA 

 Alichosema kamanda hichi kama umeshinda kuisikiliza
 Kuhusu kifo cha msanii/mwigizaji Sharo Milionea, namkariri Kamanda wa Polisi Tanga akisema “leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza”
Kamanda amesema hakuna kona kali sana wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali Sharo Milionea, katikati ya Segera na Muheza ambapo gari imehifadhiwa mahali salama kwa sababu haitembei

Wednesday, November 14, 2012

Selena Gomez "Repulsed" by Miley Cyrus, Angry Over Justin Bieber Work Schedule

A new report claims to get to the heart of the Selena Gomez and Justin Bieber break-up.
First, according to Radar Online sources, Selena and Justin actually split once before, back around the time Bieber filmed an episode of Punk'd with Miley Cyrus.
Why would that be a problem?
  • Justin Bieber Strips
  • Naughty Miley Cyrus
  • Selena Gomez Up North
"Selena is repulsed by Miley!" this insider claims, adding that Justin going ahead with the show "didn't sit well" with his girlfriend.
And while Cyrus played no part in the latest blow-up, Bieber's work schedule has remained an issue.
"He's been continually choosing work over Selena and she's finally had enough," the source alleges, detailing how this issue came to a head when Justin performed this week at the Victoria's Secret Fashion Show.
It didn't help that Gomez found photos of him posing with models at the event.
"Selena was pissed," the site says.
Gomez and Bieber supposedly met on Sunday to discuss their relationship, with the latter left to decide: does he want a steady girlfriend? Or the chance to have sex with many hot women?
"When they originally started dating, Justin was a boy entertaining young girls, and now he's a man surrounded by Victoria's Secret models," this insider concludes. "Selena doesn't like that."
Choose a side now in this feud, THGers:

 

Read more <a href="http://www.thehollywoodgossip.com">

Dancing With the Stars Results: Double Elimination Time For

It was double elimination time again on the Dancing With the Stars results show tonight.
Based on the scores from the past two weeks, it looked pretty good for Melissa Rycroft, and looked grim for Kirstie Alley. But as you know ... you never really know.
With seven popular DWTS: All-Stars remaining, and the scores relatively tight across the board, all bets were off. So which two were cut, and which five advanced?
    Apolo Anton Ohno and Karina SmirnoffGilles Marini and Peta Murgatroyd
  • Kirstie Alley and Maksim Chmerkovskiy DWTS Picture
  • Emmitt Smith and Cheryl Burke
The two ousted dancers on Tuesday's DWTS results show are pictured above.

Read more <a href="http://www.thehollywoodgossip.com"

Tuesday, November 13, 2012

MWIMBAJI MARIAM KHAMISI AFARIKI DUNIA AKIJIFUNGUA

Photo: Mwimbaji wa Taarabu MARIAM KHAMISI amefariki Dunia wakati akijifungua,Mariam ametangulia mbele za haki na kutuachia Mtoto mchanga....Mungu ampumzishe kwa amani 
Mwimbaji wa Taarabu MARIAM KHAMISI amefariki Dunia wakati akijifungua,Mariam ametangulia mbele za haki na kutuachia Mtoto mchanga....Mungu ampumzishe kwa amani

Sunday, November 4, 2012

MISS TANZANIA 2012 NI BRIGITE

Brigitte Alfred ndie mshindi kati ya washiriki wenzake 29.
.
.
.
Mshindi wa Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred (katikati)katika picha ya pamoja na mshindi wa Pili Eugene Fabian (kushoto) na Mshindi wa Tatu, Edda Sylvester, Brigitte anatokea Kitongoji cha Sinza na Kanda ya Kinondoni wakati, Eugene Mkoa wa Mara na Kanda ya Ziwa, Edda ni Miss Kigamboni na Kanda ya Temeke.
.
.
.
.
.
.
.

Waendesha shughuli Jokate pamoja na Taji Liundi.