karibu

aisha

printers

classic

Thursday, June 6, 2013

RUSHWA YA NGONO YAMUWEKA PABAYA ANDREW KABULA




  Andrew Kabula baada ya kunaswa akiwa na denti.

Andrew akihojiwa na polisi.
.................................................... 


MWANAMUME aitwaye Andrew Kabula (34), mkazi wa Kimara Mwisho jijini, hivi karibuni alinaswa gesti akiwa na mwanafunzi ‘denti’ aliyetaka kufanya naye ngono ili ampatie kazi bandarini, Amani lina mkanda kamili.



Kabula a.k.a Afisa Feki alijitapa kwa denti huyo kwamba ni Afisa wa Mamlaka ya Bandari jijini Dar na ana uwezo wa kumpatia kazi kama atampa rushwa ya ngono.
Kwa kutambua kwamba kitendo hicho ni kosa kisheria, denti huyo (jina lake kapuni) aliwasiliana na Oparesheni Fichua Maovu ya Global Publishers ili kumnasa afisa huyo feki.


POLISI WASHIRIKISHWA
Waandishi wetu waliwasiliana na polisi wa Kituo cha Mbezi Luis jijini Dar na kumwekea mtego jamaa huyo katika gesti aliyoichagua, iliyopo maeneo ya Kimara jijini Dar.
Afisa huyo kila mara alikuwa akiwasiliana na denti huku akimsisitiza kutoondoka hapo kama kweli alitaka ajira.
Waandishi, askari na denti walitangulia katika gesti hiyo na afisa akataarifiwa na denti kwamba ameshafika eneo la tukio. Yakafuata maelekezo ya kuchukua chumba kutoka kwa afisa huyo aliyedai kwamba yupo mbali kidogo.



ANASWA
Saa moja usiku, afisa feki alifika katika eneo la tukio na kuingia chumbani katika gesti hiyo (jina tunalo), huku askari na mapaparazi wakifuatilia nyendo zake.
Bila ya kushtuka kama amewekewa mtego, moja kwa moja afisa aliingia chumbani na kumkuta denti huyo ambaye alizidi kumsisitizia lengo lake.
Baada ya kuhakikishiwa kile anachokitaka na denti huyo, afisa alisaula viwalo vyake vyote na kuwa tayari kwa tendo.
Denti aliendelea kujibaraguza na kutuma taarifa kwa askari na mapaparazi wetu kwamba jamaa alikuwa tayari kwa tendo ndipo timu nzima ikavamia chumbani.


AKUTWA NA VITHIBITISHO
Mara baada ya askari kumkamata na kumuweka chini ya ulinzi, afisa huyo alipekuliwa katika simu yake ya kiganjani na kukutwa na meseji kadhaa zikionesha kwamba alikuwa akifanya mawasiliano na wasichana wengi kwa ajili ya kuwapa kazi bandarini.

Tuesday, May 14, 2013

KASHFA MWANAUME ALIYELAZWA WODI YA WANAWAKE AMANA,MAPYA YAFICHUKA


MAAJABU zaidi yamebainika kuhusu kijana wa kiume, Karina Mohamed ‘Natalia’, 20, aliyelazwa wodi ya wanawake akidhaniwa ni mwanamke.
 
Karina Mohamed 'Natalia' akiwa katika hospitali ya Amana.
Karina, alilazwa wodi ya wanawake akidhaniwa ni mwanamke kwenye Hospitali ya Amana ambayo ina hadhi ya mkoa kitabibu, Ilala, Dar es Salaam, kabla ya kugundulika akiwa chumba cha maiti baada ya kufariki dunia.
Pamoja na habari hiyo ya Karina kuandikwa kwenye gazeti ndugu na hili la Risasi Jumamosi, toleo namba 1005 la Mei 4, mwaka huu, Uwazi limebaini maajabu yaliyofanya alazwe wodi ya wanawake kwa siku mbili bila kugundulika.

MAAJABU YA KWANZA; SURA
Timu ya gazeti hili imebaini kuwa sura ya Karina, haina tofauti yoyote na ya mwanamke.
Uwazi limepata ushahidi wa picha za Karina, enzi za uhai wake na kujiridhisha kwamba sura ya kijana huyo ilikuwa na sifa nyingi za kike kuliko za kiume.
 
Karina Mohamed 'Natalia' enzi za uhai wake.
MAAJABU YA PILI; UMBO

Wednesday, March 6, 2013

SKENDO YA MASTAA KUJIUZA YAKOLEA...

Kenya Election 2013 Results: Kenyatta Leads Odinga


Kenya voters The latest results from Monday’s Kenyan elections show Uhuru Kenyatta maintaining his lead in the race for president.
With about 40 percent of polling stations reporting Tuesday, Kenyatta led his main opponent, Prime Minister Raila Odinga, 53 percent to 41 percent.
If neither man wins a majority, Kenya will hold a run-off election in April.
Kenyatta, who is Kenya’s deputy prime minister, had strong support in the areas north of the capital, Nairobi, while Odinga was winning in districts of western and southern Kenya.
Some 14 million Kenyans were eligible to vote in the elections for president, parliament, and other key offices. Both Odinga and Kenyatta have promised to respect the result of the vote.
Kenyatta is facing trial at the International Criminal Court on charges he helped organize ethnic violence that followed the 2007 presidential poll.